Mshambuliaji Sadio Mane akipongezwa na wachezaji wenzake wa Southampton baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa St Mary's, wakitoka nyuma kwa mabao 2-0. Bao lingine la Southampton limefungwa na Graziano Pelle, wakati mabao ya Liverpool yamefungwa na Philippe Coutinho na Daniel Sturridge PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Andy Robertson reveals Trent Alexander-Arnold's state of mind amid Real
Madrid rumours and the Liverpool defender's injury woes
-
Reds defender Alexander-Arnold, who has spent his entire career at Anfield
and is the vice-captain of the Premier League leaders, appears to be on the
verg...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment