Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 40 ikishinda 2-0 dhidi ya Ubelgiji Uwanja wa Manispaa ya Dk Magalhaes Pessoa usiku huu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno limefungwa na Luis Nani, wakati la Ubelgiji limegungwa na Romelu Lukaku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious Man City fans to protest new deal with controversial ticket resale
site at next home game as supporters are told to BOYCOTT first nine minutes
of Leicester clash
-
Manchester City supporters are planning a demonstration against the club's
ticketing policies during next week's home game against Leicester City.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment