Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kuifungia timu yake bao la pili dakika ya 40 ikishinda 2-0 dhidi ya Ubelgiji Uwanja wa Manispaa ya Dk Magalhaes Pessoa usiku huu katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa. Bao lingine la Ureno limefungwa na Luis Nani, wakati la Ubelgiji limegungwa na Romelu Lukaku PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment