Mgeni Rasmi, Waziri Mkuu wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rashid Mfaume Kawawa (sasa marehemu, wa pili kushoto) akisalimiana na Nahodha wa Majimaji ya Songea, Omar Kapilima kabla ya mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri mwaka 1999 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Majimaji ilifungwa 3-0, Mwingine kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa TFF) Subira Mambo (sasa marehemu pia)
Kasatkina to represent Australia instead of Russia
-
Russian Daria Kasatkina will switch allegiance to Australia after having an
application for permanent residency accepted.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment