Wachezaji wa Barcelona wakishangilia ushindi wao wa 6-0 dhidi ya Getafe katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Camp Nou. Katika mchezo huo ambao Mwanasoka Bora wa Dunia, Lionel Messi alikosa penalti kabla ya kufunga baafaye, mabao mengine ya Barca yamefungwa na Juan Rodriguez aliyejifunga, Munir, Neymar mawili na Arda Turan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Grand National jockey breaks silence after Celebre D'Allen's death - after
being banned for riding horse which had 'no more to give'
-
Nolan was given a 10-day ban and roundly criticised after riding the
13-year-old gelding over the last fence - despite him having 'no more to
give'.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment