// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
FUNGU LA MWISHO STARS LILIVYOPAA CHAD ALFAJIRI HII - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEFUNGU LA MWISHO STARS LILIVYOPAA CHAD ALFAJIRI HII - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
FUNGU LA MWISHO STARS LILIVYOPAA CHAD ALFAJIRI HII
Nahodha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, John Raphael Bocco (kushoto) akiwa kwenye mgahawa wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam Alfajiri hii wakati wa safari ya kwenda D’jamena, Chad kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika dhidi ya wenyeji Jumatano. Kulia ni Himid Mao
Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Mashindano wa TFF, Martin Chacha, kipa Aishi Manula, beki David Mwantika na kiungo Farid Mussa
Katikati ni Mkuu wa Msafara, Ravia Idarus, ambaye pia ni Rais wa ZFA
Katikati ni beki Shomary kapombe akiwa na wachezaji wenzake wa Azam FC, Himid na Bocco
'Sir Alex phoned me after the Newcastle goal'
-
Brighton forward Danny Welbeck reminisces with ex-Seagulls striker Glenn
Murray about his FA Cup exploits over the years, as he prepares for this
season's ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment