Kiungo wa Ujerumani, Mestu Ozil akimtoka kiungo wa England, Dele Alli (kulia) katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa usiku huu Uwanja wa Olympia mjini Berlin. England imeshinda 3-2, mabao yake yakifungwa na Harry Kane, Jamie Vardy na Eric Dier baada ya Ujerumani kutangulia kwa mabao ya Toni Kroos na Mario Gomez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield United 3-1 Coventry City: Tyrese Campbell copies Alexander Isak's
iconic celebration as Blades beat Frank Lampard's side to top the
Championship
-
Tyrese Campbell thrilled Sheffield United fans by mimicking Alexander Isak
after scoring to help his side to a 3-1 win over Coventry to sweep the
Blades ba...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment