Mchezaji wa Barcelona, Sergi Roberto (kulia) akiruka juu kukwepa miguu ya Eric Bailly wa Villarreal katika mchezo wa La Liga usiku wa leo Uwanja wa El Madrigal. Timu hizo zimtoka 2-2, mabao ya Villarreal yakifungwa na Bakambu na Mathieu aliyejifunga baada ya Barca kutangulia kwa mabao ya Rakitic na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pep Guardiola insists his Manchester City side 'DON'T DESERVE'
end-of-season bonuses after a dismal campaign
-
JACK GAUGHAN: City, who offer seven-figure bonuses to Guardiola and his top
players for winning the Champions League, would pay out handsomely for
victory ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment