YANGA SC 'ILIVYOWALAMBA' WAPINZANI WA JADI SIMBA TAIFA JANA
Beki wa Simba SC, Abdi Banda (kulia) akimdhibiti mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Ngoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0
Mshambuliaji wa Yanga SC, Amissi Tambwe akipiga mpira mbele ya mabeki wa Simba jana
Wachezaji Wazimbabwe, kiungo Justive Majabvi wa Simba SC (kushoto) akiwania mpira dhidi ya mshambuliaji Donald Ngoma wa Yanga
Abdi Banda (kulia) akipambana na Donald Ngoma jana Uwanja wa Taifa
Kiungo wa Yanga SC, Haruna Niyonzima (kulia) akijivuta kupiga mpira pembeni ya mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib
Beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Yanga SC, Deus Kaseke
Kocha wa Simba SC, Jackson Mayanja akimpa maelekezo Mganda mwenzake, mshambuliaji Hamisi Kiiza jana Uwanja wa Taifa
Donald Ngoma akimtoka Mzimbabwe mwenzake, Justice Majabvi jana Dar es Salaam
Kiungo wa Yanga SC, Deus Kaseke akimiliki mpira mbele ya beki Mganda wa Simba SC, Juuko Murshid
Winga wa Yanga SC, Simon Msuva (kulia) akitafuta maarifa ya kumpita beki wa Simba SC, Hassan Kessy jana Uwanja wa Taifa
Restructuring of FAMACO
-
The Federation of Uganda Football Associations (FUFA) is committed to
professionalising and advancing football administration and management in
Uganda. I...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment