Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la kuongoza dakika ya 33 katika sare ya 1-1 na wenyeji Malaga leo Uwanja wa La Rosaledan katika mchezo wa La Liga. Bao la Malaga limefungwa na Raul Albentosa dakika ya 66, wakati Ronaldo alikosa penalti katika mchezo huo ni kuinyima Real ushindi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League LIVE: Brighton vs West Ham and Ipswich Town vs Newcastle
headline 3pm games as Eddie Howe's men chase down Champions League spot
-
Follow Mail Sport's 3pm Premier League action for the latest updates
from Brighton vs West Ham, Ipswich Town vs Newcastle, Wolves vs Leicester
City and Sou...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment