Geard Ajetovic akipima uzito tayari kwa pambano la raundi 12 kesho viwanja vya Leaders Club, Kinondoni, Dar es Salaam kuwania ubingwa wa Mabara wa WBF uzito wa Super Middle
![]() |
Francia Cheka akichukuliwa vipimo mbalimbali vya afya |
![]() |
Geard Ajevotic akichukuliwa vipimo mbalimbali vya afya |
![]() |
Bondia Mohammed Matumla ambaye kesho atapigana na Bakari Mohammed katika pambano la uzito wa Light raundi sita |
![]() |
Mabondia Cossmas Cheka (kulia) na Mustafa Doto (kushoto) wakiwa wameshika mkanda wa WBF Africa watakaowiania kesho katika pambano la uzito wa Light |
0 comments:
Post a Comment