Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya Muargentina huyo kufunga kwa mpira wa adhabu katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao lingine la Barca lilifungwa na Gerard Pique, wakati la wageni lilifungwa na Vitolo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
MLB Rumors: 'Teams Hesitant' to Offer Pete Alonso a Long-Term Contract amid
Mets FA
-
Star slugger Pete Alonso is one of the best power hitters remaining on the
open market, but teams across MLB aren't in a rush to sign him. ESPN's Jeff
Passan…
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment