Mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi (kushoto) akishangilia na mchezaji mwenzake, Neymar baada ya Muargentina huyo kufunga kwa mpira wa adhabu katika ushindi wa 2-1 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya Sevilla usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Bao lingine la Barca lilifungwa na Gerard Pique, wakati la wageni lilifungwa na Vitolo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Aussie cricket stars will make history and turn Shane Warne's dream
into a reality with something the MCG has NEVER seen before
-
Shane Warne had a big wish for Test cricket at the MCG prior to his tragic
and premature death. Now Australia is set to make that dream a reality
while mak...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment