Mshambuliaji wa Crystal Palace, Emmanuel Adebayor akimuacha chini kiungo wa timu yake ya zamani, Tottenham Hotspur, Mousa Dembele katika mchezo wa Raundi ya Tano Kombe la FA England leo Uwanja wa White Hart Lane. Palace imeshinda 1-0, bao pekee la Martin Kelly na sasa wanaingia Robo Fainali ya michuano hiyo ya Chama cha Soka England, huku safari ya Spurs ikiishia hapo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fans spot awkward detail from Chris Eubank Sr's interview after Eubank Jr's
epic win over Conor Benn
-
Fans watching Saturday's clash between Chris Eubank Jr and Conor Benn
spotted an awkward moment during the post-fight television coverage. Eubank
Jr beat B...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment