![]() |
Amissi Tambwe akimiliki mpira mbele ya beki wa Majimaji jana katika mchezo ambao alifunga mabao matatu |
![]() |
Amissi Tambwe akiwatoka mabeki wa Majimaji katika mchezo ambao mabao yote alifunga kipindi cha pili |
![]() |
Mshambuliaji wa Yanga SC, Donald Ngoma ambaye alifunga bao moja jana akimtoka beki wa Majimaji, Lulanga Mapunda |
![]() |
Winga wa Yanga SC, Simon Msuva akiwatoka mabeki wa Majimaji jana Uwanja wa Taifa |
![]() |
Kiungo wa Yanga SC, Thabani Kamusoko akiwatoka wachezaji wa Majimaji katika mchezo ambao naye alifunga bao moja |
0 comments:
Post a Comment