Bryan Oviedo wa Everton (kushoto) akipambana na Ki Sung-Yueng wa Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Goodison Park. Swansea imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gylfi Sigurdsson kwa penalti baada ya Tim Howard kumchezea rafu Andre Ayew, aliyefunga bao la pili, wakati la Everton limefungwa na Jack Cork aliyejifunga kutokana na mpira wa Gareth Barry PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peyton Manning gives retirement advice to Travis Kelce as Chiefs stars
weighs up huge decision
-
Peyton Manning has advised Travis Kelce to not rush his retirement decision
following the Chiefs' devastating Super Bowl loss to the Eagles.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment