Mshambuliaji Luis Suarez akipiga ngumi hewani baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 2-1 Atletico Madrid leo Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na Lionel Messi dakika ya 30, wakati la Atletico limefungwa na Koke dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peyton Manning gives retirement advice to Travis Kelce as Chiefs stars
weighs up huge decision
-
Kelce, 35, said ahead of the Super Bowl that he hoped to still be playing
in three years, but on the eve of the game said the tight end was
'undecided' abo...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment