Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton usiku wa jana kwenye mchezo wa Kombe la Ligi Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Manchester City ambayo sasa inatinga fainali ya Capital One Cup kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kufungwa 2-1 na Everton ugenini na watamenyana na Liverpool Februari 28 Uwanja wa Wembley, yamefungwa na Fernandinho na Kevin De Bruyne wakati la Everton limefungwa na Ross Barkley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Noise machines installed by LA Home Depot ‘torture’ for day laborers,
advocates say
-
Advocates call for removal of machines and demand that company speak out
against ICE raids in parking lots
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment