Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton usiku wa jana kwenye mchezo wa Kombe la Ligi Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Manchester City ambayo sasa inatinga fainali ya Capital One Cup kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kufungwa 2-1 na Everton ugenini na watamenyana na Liverpool Februari 28 Uwanja wa Wembley, yamefungwa na Fernandinho na Kevin De Bruyne wakati la Everton limefungwa na Ross Barkley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Premier League star rushed to hospital for emergency surgery after
falling ill hours before crunch clash
-
The former Chelsea midfielder suffered with severed abdominal pains during
the night after his side arrived in Naples on Saturday ahead of `Sunday's
Serie ...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment