Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke (kushoto), akienda hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa West Ham United katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la FA England usiku wa leo Uwanja wa Anfield. Timu hizo zimetoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana kutafuta timu ya kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peyton Manning gives retirement advice to Travis Kelce as Chiefs stars
weighs up huge decision
-
Kelce, 35, said ahead of the Super Bowl that he hoped to still be playing
in three years, but on the eve of the game said the tight end was
'undecided' abo...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment