Rais wa Shirikisho la Soka Asia (AFC) na Makamu wa Rais wa (FIFA), Sheikh Salman Bin Ebrahim Al Khalifa (kushoto) akiwa katika ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) leo wakati alipotembelea katika ziara yake ya siku mbili nchini tangu jana alipowasili. Wengine ni Rais wa TFF, Jamal Malinzi (katikati) na Selestine Mwesigwa (kushoto). Sheikh Khalifa pia alitembelea ofisi za Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo na kufanya mazungmzo mafupi na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Elisante Ole Gabriel
Peyton Manning gives retirement advice to Travis Kelce as Chiefs stars
weighs up huge decision
-
Kelce, 35, said ahead of the Super Bowl that he hoped to still be playing
in three years, but on the eve of the game said the tight end was
'undecided' abo...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment