Kiungo wa KCC, Jackson Mayanja (kushoto) akikimbia na mpira kuurudisha kati uanze baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-0 dhidi ya SC Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Uganda mwaka 1997 Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala. Mayanja kwa sasa ni kocha wa Simba SC na mbali na KCC alicheza pia SC Villa na timu ya taifa ya Uganda, The Cranes
Peyton Manning gives retirement advice to Travis Kelce as Chiefs stars
weighs up huge decision
-
Peyton Manning has advised Travis Kelce to not rush his retirement decision
following the Chiefs' devastating Super Bowl loss to the Eagles.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment