Mshambuliaji wa Liverpool, Roberto Firmino (kushoto) akiifungia timu yake bao la kwanza kati ya mawili aliyofunga katika ushindi wa 5-4 dhidi ya Norwich City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Jordan Henderson, James Milner na Adam Lallana, wakati ya Norwich yamefungwa na Dieudonne Mbokani Bezua, Steven Naismith, Wes Hoolahan kwa penalti na Sebastien Bassong PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment