Gabriel wa Arsenal akiutelezea mpira kwenye miguu ya Diego Costa wa Chelsea kumzuia bila mafanikio kufunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates leo. Chelsea imeshinda 1-0, bao pekee la Costa katika mchezo ambao beki wa Arsenal, Per Mertesacker alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mfungaji huyo wa bao a The Blues PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher sends stern warning to Enzo Maresca after Chelsea manager
moaned about having the 'worst 48 hours' as Blues boss - and claims he
'won't be there next season'
-
Jamie Carragher had an ominous warning for Enzo Maresca after the Chelsea
boss cryptically described the 48 hours before their victory against
Everton on S...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment