Gabriel wa Arsenal akiutelezea mpira kwenye miguu ya Diego Costa wa Chelsea kumzuia bila mafanikio kufunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates leo. Chelsea imeshinda 1-0, bao pekee la Costa katika mchezo ambao beki wa Arsenal, Per Mertesacker alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mfungaji huyo wa bao a The Blues PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peyton Manning gives retirement advice to Travis Kelce as Chiefs stars
weighs up huge decision
-
Kelce, 35, said ahead of the Super Bowl that he hoped to still be playing
in three years, but on the eve of the game said the tight end was
'undecided' abo...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment