Gabriel wa Arsenal akiutelezea mpira kwenye miguu ya Diego Costa wa Chelsea kumzuia bila mafanikio kufunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates leo. Chelsea imeshinda 1-0, bao pekee la Costa katika mchezo ambao beki wa Arsenal, Per Mertesacker alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mfungaji huyo wa bao a The Blues PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Andrew Flintoff has become England's talent finder for their bid to
regain the Ashes Down Under, writes RICHARD GIBSON
-
RICHARD GIBSON: The sight of Andrew Flintoff mingling with county
cricketers highlighted the increasing influence of one of the sport's most
recognisable f...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment