Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar akiifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou na kutinga Nusu Fainali. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez na Gerard Pique wakati la Bilbao limefungwa na Inaki Williams PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dangote, Adenuga, Rabiu, Otedola named in Forbes’ 2025 African billionaires
list
-
By Seyi Babalola Nigerian business moguls Aliko Dangote, Mike Adenuga,
Abdulsamad Rabiu, and Femi Otedola have secured spots in Forbes’ 2025 list
of Afri...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment