Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar akiifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou na kutinga Nusu Fainali. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez na Gerard Pique wakati la Bilbao limefungwa na Inaki Williams PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment