Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo, Emmanuel Adebayor akiwa ameshika jezi ya Crystal Palace baada ya kukamilisha uhamisho wake jana kwa Mkataba wa hadi mwishoni mwa msimu, ambao unaweza kuongezwa iwapo atafanya vizuri. Adebayor amekuwa nje ya Uwanja tangu mwanzoni mwa msimu baada ya kuachwa Tottenham Hotspur ingawa itaendelea kumlipa Pauni 30,000 kwa wiki badala ya 100,000 kwa sababu bado ana Mkataba nayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I’ve been receiving death threats for telling Nigerians not to criticise
Tinubu – Peller cries out
-
By Seyi Babalola Controversial streamer Peller claims he has received death
threats after urging Nigerians to end the ongoing #30DayRants challenge on
Ti...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment