Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo, Emmanuel Adebayor akiwa ameshika jezi ya Crystal Palace baada ya kukamilisha uhamisho wake jana kwa Mkataba wa hadi mwishoni mwa msimu, ambao unaweza kuongezwa iwapo atafanya vizuri. Adebayor amekuwa nje ya Uwanja tangu mwanzoni mwa msimu baada ya kuachwa Tottenham Hotspur ingawa itaendelea kumlipa Pauni 30,000 kwa wiki badala ya 100,000 kwa sababu bado ana Mkataba nayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment