Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo, Emmanuel Adebayor akiwa ameshika jezi ya Crystal Palace baada ya kukamilisha uhamisho wake jana kwa Mkataba wa hadi mwishoni mwa msimu, ambao unaweza kuongezwa iwapo atafanya vizuri. Adebayor amekuwa nje ya Uwanja tangu mwanzoni mwa msimu baada ya kuachwa Tottenham Hotspur ingawa itaendelea kumlipa Pauni 30,000 kwa wiki badala ya 100,000 kwa sababu bado ana Mkataba nayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Peyton Manning gives retirement advice to Travis Kelce as Chiefs stars
weighs up huge decision
-
Kelce, 35, said ahead of the Super Bowl that he hoped to still be playing
in three years, but on the eve of the game said the tight end was
'undecided' abo...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment