Mshambuliaji wa Manchester City, Wilfried Bony akienda hewani kuifungia kwa kichwa timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea Uwanja wa Etihad jioni ya leo. Bao lingine la City lilifungwa na Kelechi Iheanacho aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Yaya Toure, huku bao la Swansea likifungwa na Bafetimbi Gomis PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marvin Harrison Jr. Out for Cardinals vs. Packers with Concussion
-
Arizona Cardinals wide receiver Marvin Harrison Jr. was ruled out during
the team's clash with the Green Bay Packers on Sunday due to a concussion.
The…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment