Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez (kushoto) akiichezea timu yake ya taifa, Chile jana ikitoa sare ya 1-1 na Colombia katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi kwa bara la Amerika Kusini mjini Santiago. Bao la Chile lilifungwa na Arturo Vidal wakati la Colombia lilifungwa na James Rodriguez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eni Aluko APOLOGISES to Ian Wright: Former footballer admits she was
'wrong' to accuse Arsenal legend of 'blocking' pathway for female pundits
in shock attack
-
Eni Aluko has issued a passionate apology to Ian Wright after facing
backlash for claiming he was blocking opportunities for female pundits by
'dominating'...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment