• HABARI MPYA

        Friday, November 13, 2015

        SANCHEZ ASHINDWA KUIBEBA CHILE NYUMBANI, YATOA SARE 1-1 NA COLOMBIA SANTIAGO

        Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez (kushoto) akiichezea timu yake ya taifa, Chile jana ikitoa sare ya 1-1 na Colombia katika mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2018 Urusi kwa bara la Amerika Kusini mjini Santiago. Bao la Chile lilifungwa na Arturo Vidal wakati la Colombia lilifungwa na James Rodriguez  PICHA ZAIDI GONGA HAPA
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SANCHEZ ASHINDWA KUIBEBA CHILE NYUMBANI, YATOA SARE 1-1 NA COLOMBIA SANTIAGO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry