Mshindi wa Airtel Trace Music Stars, Mayunga Nalimi akiongea na waandishi (hawapo pichani) wakati wa tukio la kumuaga kwa ajili ya kwenda kurekodi video ya muziki na kupata mafunzo toka kwa mwanamuziki wa kimataifa Akon nchini Marekani. hafla fupi ya kumuaga iliyofanyika katika makao makuu ya ofisi ya Airtel Morocco jijini Dar Es Salaam. Katikati ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde, akifatiwa na Mwalimu wa sauti Tony Joet.
We have to remember England are world's best - Lynn
-
While Wales were encouraged by their showing in Scotland, their 11-try
mauling by England was a timely reminder of just how much they need to
improve.
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment