Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia na wachezaji wenzake Raheem Sterling (katikati) na Sergio Aguero baada ya kuifungia Manchester City katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad jioni ya leo mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Fabian Delph na Aleksandar Kolarov, wakati la Southampton limefungwa na Shane Long. City inarejea kileleni mwa Ligi Kuu, ingawa inaweza kushuka baada ya mchezo kati ya Leicester City na Manchester United unaoendelea sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kelly Clarkson takes shock brutal jab at Jerry Jones over Dallas Cowboys
playoff drought
-
Life-long Dallas Cowboys fan Kelly Clarkson has had enough of the team's
three-decade-long drought from the NFC title game.
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment