Kipa wa Arsenal, Petr Cech (kulia) akizungumza na mchezaji mwenzake Mikel Arteta baada ya kujifunga kipindi cha kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawtorns dhidi ya wenyeji West Bromwich Albion. WBA imeshinda 2-1, bao lake lingine likifungwa na James Morrison, wakati la Arsenal limefungwa na Olivier Giroud PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Champions League referee was once arrested at a sex party where
cocaine and guns were found - after thinking he was going for lunch!
-
Vincic, who refereed last season's Champions League final, will expect
Tuesday night's match to be less sordid than the affair he was caught up in
almost f...
6 minutes ago
0 comments:
Post a Comment