Kipa wa Arsenal, Petr Cech (kulia) akizungumza na mchezaji mwenzake Mikel Arteta baada ya kujifunga kipindi cha kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawtorns dhidi ya wenyeji West Bromwich Albion. WBA imeshinda 2-1, bao lake lingine likifungwa na James Morrison, wakati la Arsenal limefungwa na Olivier Giroud PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Transgender women banned from female pool category
-
The Ultimate Pool Group (UPG) ban transgender women from female category
after landmark UK Supreme Court ruling that the legal definition of a woman
is bas...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment