Kipa wa Arsenal, Petr Cech (kulia) akizungumza na mchezaji mwenzake Mikel Arteta baada ya kujifunga kipindi cha kwanza katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawtorns dhidi ya wenyeji West Bromwich Albion. WBA imeshinda 2-1, bao lake lingine likifungwa na James Morrison, wakati la Arsenal limefungwa na Olivier Giroud PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mac Jones gets NFL lifeline as he signs two-year deal with the San
Francisco 49ers
-
Jones had a fast start to his career, helping New England make the playoffs
in his rookie season. But Jones regressed the next year after offensive
coordin...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment