// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); UGANDA YATANGULIZA MGUU MMOJA CHAN YA RWANDA, YAICHAPA SUDAN 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE UGANDA YATANGULIZA MGUU MMOJA CHAN YA RWANDA, YAICHAPA SUDAN 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Sunday, October 18, 2015

        UGANDA YATANGULIZA MGUU MMOJA CHAN YA RWANDA, YAICHAPA SUDAN 2-0

        Uganda imeanza vizuri hatua ya mwisho ya mchujo wa kufuzu Michano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) baada ya kuifunga mabap 2-0 Sudan jana Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala.
        Shukrani kwao wafungaji wa mabao hayo, Frank Kalanda na Nahodha Farouk Miya na sasa The Cranes itahitaji sare au kufungwa si zaisi ya 1-0 katika mchezo wa marudiano ili kufuzu CHAN ya 2016 nchini Rwanda.  

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: UGANDA YATANGULIZA MGUU MMOJA CHAN YA RWANDA, YAICHAPA SUDAN 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry