• HABARI MPYA

        Thursday, October 22, 2015

        SIMBA SC NA PRISONS KATIKA PICHA JANA UWANJA WA SOKOINE

        Mshambuliaji Msenegali wa Simba SC, Pape Abdoulaye N'daw (kushoto) akimgeuza beki wa Prisons FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacon Tanzania Bara jana Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya. Prisons ilishinda 1-0
        Pape N'daw akigombea mpira wa juu na wachezaji wa Prisons
        Kiungo wa Simba SC, Peter Mwalyanzi akimtoka beki wa Prisons
        Beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' (kulia) akimtoka beki wa Prisons
        Winga wa mkopo Simba SC kutoka Azam FC, Joseph Kimwaga (kushoto) akitafuta maarifa ya kumtoka beki wa Prisons
        Pape N'daw (kulia) akimtoka beki wa Prisons
        Kikosi cha Simba SC kilichoanza jana dhidi ya Prisons

        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: SIMBA SC NA PRISONS KATIKA PICHA JANA UWANJA WA SOKOINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry