Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro (kulia) akimtia tobo Sergi Gomez wa Celta Vigo katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Balaidos. Real imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Ronaldo dakika ya nane, Danilo Luiz da Silva dakika ya 23 na Marcelo Vieira Da Silva Junior dakika ya 90+5, wakati la wenyeji lilifungwa na Manuel Agudo Duran dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chris Eubank Jr MAKES the weight for grudge showdown with Conor Benn on
Saturday night - coming in 0.6lbs under 170lbs limit
-
CHARLOTTE DALY: Both fighters were subject to a strict 170lb cap for the
fight-day weigh-in, part of a tightly negotiated agreement following the
collapse ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment