Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo dos Santos Aveiro (kulia) akimtia tobo Sergi Gomez wa Celta Vigo katika mchezo wa La Liga jioni ya leo Uwanja wa Balaidos. Real imeshinda 3-1, mabao yake yakifungwa na Ronaldo dakika ya nane, Danilo Luiz da Silva dakika ya 23 na Marcelo Vieira Da Silva Junior dakika ya 90+5, wakati la wenyeji lilifungwa na Manuel Agudo Duran dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 FIFA World Cup qualifiers: Winfried Schafer joins Black Stars training
for the first time
-
The new technical director of the Ghana Football Association, Winfried
Schafer, joined the Black Stars for the first time during their first
training sessi...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment