Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiruka kama mkizi kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Las Palmas jioni ya leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco na Jese Rodriguez, wakati la Palmas limefungwa na Hernan Santana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 FIFA World Cup qualifiers: Winfried Schafer joins Black Stars training
for the first time
-
The new technical director of the Ghana Football Association, Winfried
Schafer, joined the Black Stars for the first time during their first
training sessi...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment