Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiruka kama mkizi kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Las Palmas jioni ya leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco na Jese Rodriguez, wakati la Palmas limefungwa na Hernan Santana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Razak Simpson confident of Black Stars’ qualification ahead of World Cup
qualifiers
-
Black Stars defender Razak Simpson has expressed confidence in Ghana’s
chances of qualifying for the 2026 FIFA World Cup as the team intensifies
preparat...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment