Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiruka kama mkizi kuifungia timu yake katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Las Palmas jioni ya leo katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Isco na Jese Rodriguez, wakati la Palmas limefungwa na Hernan Santana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eddie Hearn calls for Chris Eubank Jr to come DOWN in size for the rematch
against Conor Benn - despite veteran's brutal weight cut - as promoter
claims there was a 'dangerous' disparity in the first bout
-
Eddie Hearn believes Chris Eubank Jr should come down in weight for the
rematch against Conor Benn after their pair's 'dangerous' first bout.
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment