Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar amekuwa mchezaji mwingine wa timu hiyo kufunga mabao manne katika mechi moja baada ya Messi, tangu Mcameroon Samuel Eto'o alipofanya hivyo mwaka 2008. Neymar alifunga mabao mawili kwa penalti jana kati ya manne katika mchezo wa La Liga, wakati bao lingine la Barca lilifungwa na Luis Suarez, Barcelona ikishinda 5-2 dhidi ya Rayo Vallecano. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hawthorn footy star Tom Barrass gets fat-shamed by an AFL great despite
having a body 99 per cent of Aussie men would kill for
-
Tom Barrass has played a big role in helping Hawthorn become premiership
contenders this year - but he's still come in for some blunt criticism from
one of...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment