Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar amekuwa mchezaji mwingine wa timu hiyo kufunga mabao manne katika mechi moja baada ya Messi, tangu Mcameroon Samuel Eto'o alipofanya hivyo mwaka 2008. Neymar alifunga mabao mawili kwa penalti jana kati ya manne katika mchezo wa La Liga, wakati bao lingine la Barca lilifungwa na Luis Suarez, Barcelona ikishinda 5-2 dhidi ya Rayo Vallecano. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2026 FIFA World Cup qualifiers: Winfried Schafer joins Black Stars training
for the first time
-
The new technical director of the Ghana Football Association, Winfried
Schafer, joined the Black Stars for the first time during their first
training sessi...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment