Mshambuliaji wa kimataifa wa Poland, Robert Lewandowski akipiga kichwa mbele ya mabeki wa Cologne kuifungia Bayern Munich bao la tatu katika ushindi wa 4-0 jioni ya leo Uwanja wa Allianz Arena katika mchezo wa Bundesliga. Mabao mengine ya Bayern Munich yamefungwa na Arjen Robben, Arturo Vidal na Thomas Muller kwa penalti. Ushindi huo wa 1,000 kwa The Bavarians tangu kuanzishwa kwa Bundesliga, unaifanya Bayern iwe timu ya kwanza kushinda mechi 10 mfululizo za ligi hiyo kihistoria. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Wilshere takes up first managerial job - and will go head-to-head
against former Arsenal team-mate in just his second game
-
The former Arsenal star will take on the first managerial job of his career
following the club's decision to part ways with their head coach on Tuesday
mor...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment