Mshambuliaji wa Liverpool, Daniel Sturridge akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili timu yake ikishinda 3-2 dhidi ya Aston Villa Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Jumamosi. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na James Milner wakati ya Villa yalifungwa na Rudy Gestede PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Scholes delivers his verdict on whether Manchester City should face a
points deduction if found guilty of 115 breaches of Premier League
financial rules
-
Manchester City stand accused by the Premier League of multiple breaches of
their financial regulations, as well as failing to co-operate with a
subsequent...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment