Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akionekana mnyonge baada ya timu yake kufungwa na Celta Vigo mabao 4-1 jana usiku mjini Vigo katika mchezo wa La Liga. Mabao ya Celta Vigo yalifungwa na Iago Aspas aliyetemwa Liverpool mawili, Nolito na John Guidetti wakati bao pekee la Barca lilifungwa na Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea 'avoided financial rule breach' by selling their women's team to
themselves - as club post net profit of almost £130m after exploiting PSR
loophole
-
Chelsea have posted a net profit of almost £130million in their latest
accounts published on Monday, after selling the women's team to the west
London club...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment