// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); DANNY MRWANDA AENDA KUIPANDISHA LIPULI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE DANNY MRWANDA AENDA KUIPANDISHA LIPULI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

        Sunday, September 20, 2015

        DANNY MRWANDA AENDA KUIPANDISHA LIPULI

        Na Princess Asia, DAR ES SALAAM
        ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga SC, Danny Davis Mrwanda amesajiliwa na Lipuli ya Iringa inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza Tanzania Bara.
        Mshambuliaji huyo wa zamani wa Simba SC, alitemwa Yanga SC baada ya nusu msimu kutokana na sababu za kibinafsi zaidi na sasa ameamua kwenda kujaribu kuirejesha Ligi Kuu Lipuli.
        Danny Mrwanda (kulia) akifurahia na Simon Msuva baada ya kufunga bao wakati anacheza Yanga SC msimu uliopita

        Kikosi kamili cha Lipuli ni; Adam Omary Soba, Green Paul Jerosi, Hamisi Shabani Likwena, Shirazy Abdallah Sozigwa, Kessy Christian Ntale, Markyard Franco, Abdul Salum Kussi, Mwamba Timothy Mkumbwa, Lulanga Andrew Mapunda na 
        Ramadhani Hussein Ramadhani. 
        Wengine ni Meshack Abel Mwankina, Mohamed Said Mpopo, Abdi Yassin Mtangi, Deograsias Anthony Kulwa, Zamogoni Michael Pangapanga, Majid Musa Said, Haji Juma Mapunda na Mathayo Hezron Wilson.
        Wamo pia Marko Kuga, Stone Peter Mwanyilu, Dany Davis Mrwanda, Fadhili Said Butamu, Dismas Yustus Achimpate, Yona Ndibila, Sultan Mwenegoha Kassim, Hamisi Kisengo, Kashiru Salum na Geofrey Kombole.
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: DANNY MRWANDA AENDA KUIPANDISHA LIPULI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry