// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); MAYWEATHER KUZIPIGA NA ANDRE BERTO SEPTEMBA 12 MGM - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MAYWEATHER KUZIPIGA NA ANDRE BERTO SEPTEMBA 12 MGM - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, August 05, 2015

    MAYWEATHER KUZIPIGA NA ANDRE BERTO SEPTEMBA 12 MGM

    MBABE Floyd Mayweather amesema kwamba atapigana na Andre Berto katika pambano lake la 49 Septemba 12, mwaka huu.
    Pambano hilo litafanyika ukumbi wa MGM Grand Garden Arena, Mayweather akipanda ulingoni akiwa hajawahi kupoteza hata pambano moja kuelekea pambano lake la 50.
    Mara ya mwisho Mayweather kupanda ulingoni alimshinda kwa pointi za majaji wote, Mfilipino Manny Pacquiao Mei mwaka huu akishinda kwa mara ya 48 mfululizo.
    Floyd Mayweather ametaja pambano lake la 49 kwamba atapigana na Andre Berto Septemba 12 mwaka huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAYWEATHER KUZIPIGA NA ANDRE BERTO SEPTEMBA 12 MGM Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top