// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); DI MARIA ATUA RASMI PSG, AAHIDI NDOO YA LIGI YA MABINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE DI MARIA ATUA RASMI PSG, AAHIDI NDOO YA LIGI YA MABINGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Wednesday, August 05, 2015

    DI MARIA ATUA RASMI PSG, AAHIDI NDOO YA LIGI YA MABINGWA

    WINGA wa kimataifa wa Argentina, Angel di Maria amesema anataka kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Ukaya akiwa na klabu yake mpya, PSG.
    Mchezaji huyo wa zamani wa Real Madrid akemailisha uhamisho wa Pauni Milioni 44.4 kutoka Manchester United kutua Paris, baada ya kushindwa kung'ara katika Ligi Kuu ya England. 
    Di Maria amekamilisha uhamisho wake baada ya kufaulu vipimo vya afya mjini Doha nchini Qatar mwanzoni mwa wiki na sasa anahamia Ufaransa kikazi kutoka Manchester.
    Di Maria baada ya kutua Qatar kukamilisha uhamisho wake Paris Saint-Germain Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    Angel di Maria (right) was spotted in Doha, Qatar on Tuesday to begin his medical ahead of move to PSG
    Di Maria appeared in high spirits as he arrived at the Aspetar - Orthopaedic and Sports Medicine Hospital
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: DI MARIA ATUA RASMI PSG, AAHIDI NDOO YA LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top