Na Prince Akbar, DAR ES SALAAM
WINGA Mganda Brian Majwega atarudishwa KCCA FC kucheza kwa mkopo, baada ya kocha Muingereza wa Azam FC, Stewart Hall kumtoa kwenye mipango yake ya msimu ujao.
Baada ya kusajiliwa kwa Ramadhani Singano ‘Messi’ kutoka Simba SC na kupona kwa Farid Mussa na Joseph Kimwaga- winga Mganda Majwega amejikuta anapoteza nafasi katika kikosi cha kwanza cha Azam FC.
Majwega hakuwamo kwenye orodha ya wachezaji 20 waliocheza Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Azam FC ikitwaa ubingwa wiki iliyopita na tayari mipango ya kumpeleka kwa mkopo KCCA imeanza.
Mtendaji Mkuu wa KCCA FC, David Tamale amekaririwa na
WINGA Mganda Brian Majwega atarudishwa KCCA FC kucheza kwa mkopo, baada ya kocha Muingereza wa Azam FC, Stewart Hall kumtoa kwenye mipango yake ya msimu ujao.
Baada ya kusajiliwa kwa Ramadhani Singano ‘Messi’ kutoka Simba SC na kupona kwa Farid Mussa na Joseph Kimwaga- winga Mganda Majwega amejikuta anapoteza nafasi katika kikosi cha kwanza cha Azam FC.
Majwega hakuwamo kwenye orodha ya wachezaji 20 waliocheza Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Azam FC ikitwaa ubingwa wiki iliyopita na tayari mipango ya kumpeleka kwa mkopo KCCA imeanza.
Brian Majwega (kulia) amefunga bao moja tu Azam FC katika mechi 28 za msimu wake wa kwanza na sasa anarudishwa kwa mkopo KCCA FC ya kwao Uganda |
Mtendaji Mkuu wa KCCA FC, David Tamale amekaririwa na
0 comments:
Post a Comment