Bondia Mfaransa, Nadjib Mohammedi akienda chini baada ya kuchapwa makonde na Mrusi, Sergey Kovalev katika pambano la Light Heavy mjini Las Vegas, Marekani usiku wa kuamkia leo. Mrusi huyo alitetea taji lake kwa ushindi wa Knockout (KO) raundi ya tatu. Na sasa atarejea nyumbani Moscow kujiandaa na pambano lake lijalo Novemba dhidi ya Jean Pascal, ambaye usiku wa jana alimpiga Yunieski Gonzalez kwa pointi ukumbi wa Mandalay Bay PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jason Whitlock reveals why Stephen A. Smith can become US president in
extraordinary rant about ESPN star
-
Whitlock accused Smith of being a 'plant', referencing 9/11 conspiracy
theories and making the baseless claim that Disney, the NBA and 'the
powerful elite'...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment