Bondia Mfaransa, Nadjib Mohammedi akienda chini baada ya kuchapwa makonde na Mrusi, Sergey Kovalev katika pambano la Light Heavy mjini Las Vegas, Marekani usiku wa kuamkia leo. Mrusi huyo alitetea taji lake kwa ushindi wa Knockout (KO) raundi ya tatu. Na sasa atarejea nyumbani Moscow kujiandaa na pambano lake lijalo Novemba dhidi ya Jean Pascal, ambaye usiku wa jana alimpiga Yunieski Gonzalez kwa pointi ukumbi wa Mandalay Bay PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Caitlin Clark's Iowa Jersey Retirement Celebrated in Photos, Videos After
USC Upset
-
One of the greatest college basketball players of all time had her jersey
lifted to the rafters on Sunday. Caitlin Clark, an Iowa legend and now star
for the…
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment