David Silva (kushoto) akishangilia na Raheem Sterling baada ya wote kuifungia Manchester City katika ushindi wa 8-1 dhidi ya Vietnam mjini Hanoi leo. Silva alifunga mabao mawili sawa na Sterling na mengine yalifungwa na Aleksander Kolarov mawili moja kwa penalti baada ya Sterling kuchezewa rafu, Rony Lopes na Jose Pozo wakati bao la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Nguyen Van Quyet dakika za majeruhi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nsoatreman FC mourn tragic passing of Kotoko supporter after stabbing
incident during league match
-
Nsoatreman Football Club have issued a statement to mourn the passing of
the deceased Asante Kotoko supporter, identified as Polley.The die-hard
supporter ...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment