Danny Ings (kushoto) akimlamba chenga kipa wa Adelaide United, Eugene Galekovic (katikati) kabla ya kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool leo Uwanja wa Adelaide Oval. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na James Milner na Liverpool sasa imeshinda zake zote tatu za kirafiki kwenye ziara ya kujiandaa na msimu Mashariki ya Mbali na Australia hadi sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal 5-1 Man City - PLAYER RATINGS: Who was Gunners' 9/10 star man?
Which City man was run ragged? And who atoned for his howler?
-
ISSAN KHAN AT THE EMIRATES: Arsenal kept their Premier League title bid
alive and effectively ended Manchester City 's in the process by beating
the reigni...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment