Danny Ings (kushoto) akimlamba chenga kipa wa Adelaide United, Eugene Galekovic (katikati) kabla ya kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool leo Uwanja wa Adelaide Oval. Bao lingine la Liverpool lilifungwa na James Milner na Liverpool sasa imeshinda zake zote tatu za kirafiki kwenye ziara ya kujiandaa na msimu Mashariki ya Mbali na Australia hadi sasa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Edeoga eyes return to PDP, meets with party leadership
-
The Enugu State Chapter of the Peoples Democratic Party (PDP), and the
Labour Party (LP), governorship candidate in the 2023 general election,
Hon. Chiji...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment