• HABARI MPYA

        Tuesday, June 23, 2015

        KIPRE HERMAN TCHETCHE 'ALIVYOJIBEBEA' JIKO MWISHONI MWA WIKI IVORY COAST

        Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Herman Tchetche akicheza ngoma ya asili ya kwao Ivory Coast na mkewe mwishoni mwa wiki baada ya kufunga pingu za maisha nchini humo.
        Wapambe wa Bi harusi wakifurahia katika sherehe hizo
        Maharusi wakifurahia kutimiza ahadi yao ya kuiunganisha miili yao kuwa mmoja
        Kipre Tchetche anatarajiwa kuwasili wiki hii kuendelea na kazi Azam FC baada ya kukamilisha zoezi hilo
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: KIPRE HERMAN TCHETCHE 'ALIVYOJIBEBEA' JIKO MWISHONI MWA WIKI IVORY COAST Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry