• HABARI MPYA

        Thursday, June 25, 2015

        ALIYEMTIA 'DOLE' NYUMA CAVANI AFUNGIWA KUTOCHEZA TENA COPA AMERICA

        BEKI wa Chile, Gonzalo Jara amefungiwa kucheza hatua yote iliyobaki ya mashindano ya Copa America, baada ya jana kumtia 'dole' nyuma mshambuliaji wa Uruguay, Edinson Cavani in the backside.
        Jara alizabwa kibao na Cavani usoni na mshambuliaji huyo wa Paris Saint-Germain akaonyeshwa kadi ya pili ya njano na kuwa nyekundu hivyo kutolewa nje huku wa Chile akiachwa bila adhabu yoyote.
        Pamoja na mchezaji huyo wa zamano wa West Brom, Brighton na Nottingham Forest kuisaidia timu yake kushinda 1-0 usiku wa kuamkia leo na with kutinga Nusu Fainali ya michuano ambayo wao ni wenyeji, lakini hatacheza tena.
        Edinson Cavani (third left) makes his views very clear as he argues with Gonzalo Jara over the incidents
        Edinson Cavani (wa tatu kushoto makes akilalamikia kitendo alichofanyiwa na Gonzalo Jara 
        Jara approached Cavani late in the game
        He appeared to stick his finger in the striker's bum
        Jara akimfanyia udhalilishaji Cavani, ambaye alipojibu kwa kumzaba kibao beki huyo alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 63
        Cavani was shown a red card for two yellows after abusing the referee's assistant and the flick at Jara
        Cavani akionyeshwa kadi nyekundu licha ya kudhalilishwa na Jara
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: ALIYEMTIA 'DOLE' NYUMA CAVANI AFUNGIWA KUTOCHEZA TENA COPA AMERICA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry