Nahodha wa Chelsea, John Terry akiinua Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu ya England leo baada ya mchezo dhidi ya Sunderland Uwanja wa Stamford Bridge leo ambao walishinda 3-1. Mabao ya Chelsea iliyojihakikishia ubingwa huo mapema mwezi huu yalifungwa na Lioc Remy mawili na Diego Costa moja kwa penalti baada ya John O'Shea kumchezea rafu Juan Cuadrado wakati bao la kufutia machozi la Sunderland lilifungwa na Steven Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta urges Arsenal to be 'bold and brave' against Real Madrid - as
he insists the Gunners will play to WIN in Spain despite 3-0 aggregate lead
-
ISAAN KHAN IN MADRID: Mikel Arteta has roared on his Arsenal side to be
'bold and brave' when they face-off against Real Madrid at the intimidating
Bernabe...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment