NGASSA PUSHAPU 200 KILA SIKU, MAANDALIZI YA PSL SI MCHEZO
Mshambuliaji wa Free State Stars ya Ligi Kuu ya Afrika Kusini, Mrisho Khalfan Ngassa hupiga pushapu 200 kila siku asubuhi kabla ya kuingia kwenye programu nyingine za mazoezi kama kukimbia na kucheza na mpira.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Yanga SC kwa sasa yupo apumzikoni akijiandaa na msimu mpya katika klabu mpya, Free State Stars
Ngassa alikuwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kilichoshiriki michuano ya Kombe la COSAFA nchini Afrika Kusini na kufanya vibaya, baada ya kufungwa mechi zote tatu za Kundi B
Preview: Real Madrid v Arsenal
-
As we aim to reach the Champions League semis, get team news, stats, the
lowdown on Madrid and more in our guide to the game
EU shows interest in Nigeria’s solid minerals
-
From Charity Nwakaudu, Abuja The European Union (EU) has expressed strong
interest in expanding trade and investment in Nigeria’s solid minerals
sector, ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment