Wachezaji wa Liverpool, Adam Lallana (kushoto), Philippe Coutinho (katikati) na Steven Gerrard wakiwa hoi baada ya kipigo cha mabao 6-1 kutoka kwa Stoke City leo katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu England. Mame Biram Diouf alifunga mabao mawili, Jonathan Walters, Steven N'Zonzi, Charlie Adam na Peter Crouch kila mmoja alifuga moja, wakati bao pekee la Liverpool lilifungwa na Gerrard aliyekuwa anacheza mechi ya mwisho kabla ya kuhamia LA Galaxy ya Marekani msimu ujao PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Igbo monarchs rise against insecurity
-
Traditional rulers in Igboland have resolved to galvanise their various
communities to tackle the spate of insecurity in the country in general and
Igbol...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment