Kiungo Frank Lampard akiwapigia makofi mashabiki wa Manchester City wakati anatoka uwanjani kumpisha Jesus Navas dakika ya 76 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Southampton Uwanja wa Etihad leo. City ilishinda 2-0, mabao yake yakifungwa na Lampard na Sergio Aguero. Hii ilikuwa mechi ya mwisho ya Lampard aliyekuwa kwa mkopo Man City kabla ya kurejea Marekani. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fallout of 1914 amalgamation reasons for Kanu’s self-determination bid
–Igbo clerics
-
From Godwin Tsa, Abuja. A group of clerics under the umbrella of Igbo
Ministers Commission, has insisted that the self-determination bid by the
detained ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment