• HABARI MPYA

        Thursday, May 21, 2015

        HAWA NDIYO KIBOKO YETU, KWELI 'WABONGO' TUMEJICHOKEA!

        Kikosi cha Madagascar ambacho jana kimeifunga mabao 2-0 Tanzania, Taifa Stars katika mchezo wa Kundi B Kombe la COSAFA, Uwanja wa Royal Bafokeng Sports Palace mjini Rusternburg, Afrika Kusini.
        Kikosi cha Tanzania kilichofungwa 2-0 na Madagascar. Taifa Stars itacheza mechi ya kukamilisha ratiba kesho kabla ya Jumamosi kurejea nyumbani, kuanza maandalizi ya mchezo dhidi ya Misri kuwania kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON).
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: HAWA NDIYO KIBOKO YETU, KWELI 'WABONGO' TUMEJICHOKEA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry